Katika kipindi chote, Dudumizi tulikuwa tunatumia sana mtandao wa facebook, ukifuatiwa na Twitter kama mitandao jamii. Kwakuwa, Dudumizi tunajihusisha na utengenezaji wa Website (Website Design) na Systems, vitu ambavyo vinatumika kwenye sehemu kubwa ya maisha ya binadamu wa sasa, hivyohatuna budi kuwa karibu zaidi ili pale wateja wetu wanapopata matatizo, tuwe karibu nao, sasa tumefungua akaunti rasmi ya Instagram itakayojulikana kwa Dudumizitech.
Kurasa hii itatumika kama kurasa rasmi ya Dudumizi kwa ajili ya kuwasiliana na wateja wetu, kwa offer, matangazo, habari mbalimbali nk, hivyo usikose kutufollow.
#Dudumiziteam