Dudumizi yahudhuria ufunguzi wa BNI chapter ya Amani
Kwa Tanzania, kuna matawi mawili ya BNI, moja ni Hodari na lingine ni Amani ambayo yote yapo Dar es Salaam. Hivyo kama wewe ni mfanya biashara na ungependa kujiunga na kikundi cha wafanyabiashara kupitia BNI, fanya haraka kabla nafasi haijachukuliwa kwa sababu, kwa BNI, ni biashara moja tuu inayokubaliwa kwa kila kundi.
Wafanyabiashara wakibadilishana taarifa kabla ya kuanza kwa kikao (Business Networking)
Washiriki wakifuatilia utambulisho wa wana BNI wa Amani
Wafanyabishara wakiingia kwenye ukumbi wa mikutano wa hoteli ya Ramada
Uchukuaji wa picha ukiendelea kabla ya kuanza kwa tukio la awamu ya pili
Sehemu ya washiriki wa tukio
Nguzo kubwa ya ushirikiano wa kibiashara huanza na uelewa thabiti wa biashara ya mwenzako. Wana BNI wakibadilishana mawazo.
Logo ya Dudumizi ndani ya BNI